Diamond Platnumz is unstoppable! Ni muda mrefu sasa tumekuwa
tukisikia tetesi kuwa amerekodi ngoma na msanii mkubwa wa Marekani japo
hakuwahi kumtaja, lakini sasa tunaweza kuwa na ubashiri sahihi!
Muimbaji huyo alikuwa akiongea kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV
leo asubuhi ambapo aliulizwa ni msanii gani wa nje ya Afrika anayependa
kufanya naye kazi.
Diamond alidai kuwa tayari msanii anayemkubali zaidi nchini Marekani ameshafanya naye kazi japo hakupenda kumtaja tena.
Aliombwa amtaje msanii mwingine tofauti na huyo na kusema wasanii
watano anaowapenda zaidi nchini Marekani ni Nicki Minaj, Chris Brown na
Usher Raymond na kwamba mmoja kati ya hao tayari ameshafanya naye ngoma!
So ubashiri wetu ni Usher!
Home / Bongo yetu /
isikupite /
Ma Star wetu /
Utaipenda
/ Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani, hutaamini ni yupi!
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment