Agnes Masogange na producer/msanii wa Nigeria, Tekno Miles ni wapenzi?

Kwa picha zake za Instagram, inaonekana asilimia 70 ya maisha ya Agnes Masogange huyatumia akiwa nje ya Tanzania.

Kwa muda mrefu amekuwa akiishi Afrika Kusini ambako huenda hukutana na mastaa wengi wanaoishia kupagawa na umbo lake!

Kama si kumwona kama ‘mwanaume wa ndoto yake’, kuna dalili kuwa huenda mrembo huyo akawa na uhusiano na msanii na producer wa Nigeria, Tekno Miles.
11055595_836375646419073_35542390_n
Tekno Miles
Ukiangalia ukurasa wake wa Instagram utaona kwenye picha yake ya profile ameweka picha ya Tekno Miles lakini pia jina lake amelibadilisha kuwa ‘Didimiles’ hivyo kuna uwezekano mkubwa wawili hao wakawa ‘item’.
Siku wakiamua kuuweka wazi uhusiano wao tutajua!
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment