Kwa picha zake za Instagram, inaonekana asilimia 70 ya maisha ya Agnes Masogange huyatumia akiwa nje ya Tanzania.
Kwa muda mrefu amekuwa akiishi Afrika Kusini ambako huenda hukutana na mastaa wengi wanaoishia kupagawa na umbo lake!
Kama si kumwona kama ‘mwanaume wa ndoto yake’, kuna dalili kuwa
huenda mrembo huyo akawa na uhusiano na msanii na producer wa Nigeria,
Tekno Miles.
Tekno Miles
Ukiangalia ukurasa wake wa Instagram utaona kwenye picha yake ya
profile ameweka picha ya Tekno Miles lakini pia jina lake amelibadilisha
kuwa ‘Didimiles’ hivyo kuna uwezekano mkubwa wawili hao wakawa ‘item’.
Siku wakiamua kuuweka wazi uhusiano wao tutajua!
Home / Bongo Movie /
Bongo yetu /
isikupite /
Ma Star wetu
/ Agnes Masogange na producer/msanii wa Nigeria, Tekno Miles ni wapenzi?
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment