uzinduzi wa video mpya ya madee ya wimbo wa vuvula

Mh. Temba pamoja na Chege wakionesha manjonjo stejini wakati wa uzinduzi wa video yao.
Madee akiwa na wacheza shoo wake kwenye hafla hiyo…
Mh. Temba pamoja na Chege wakionesha manjonjo stejini wakati wa uzinduzi wa video yao.
Madee akiwa na wacheza shoo wake kwenye hafla hiyo wakitoa burudani.
Yamoto band wakitoa burudani ndani ya Escape One.
Mwanadada Vanessa Mdee 'V Money' akionyesha makeke yake stejini.
V Money akilishambulia jukwaa sambamba na shabiki wake aliyepanda stejini.
Vanessa Mdee akifanya makamuzi na Barnaba stejini.
Dully Sykes naye akifanya yake kwenye steji ya Escape One.
Profesa Jay naye ndani.
Mwanamuziki Jux akilitawala jukwaa wakati wa shoo hiyo.
Matonya naye akionyesha manjonjo yake.
Dogo Janja naye alikuwepo kutoa burudani sambamba na Madee.
Burudani mwanzo mwisho.
Nyomi ya shoo hiyo.
Warembo wakipiga picha katika red carpet iliyoandaliwa.
Wadau mbalimbali wakipozi kwenye red carpet.
Yamoto band wakipozi kwa picha katika red carpet pamoja na mashabiki wa muziki.
Chegge na Temba katika red carpet.
Chegge na Mh.Temba wakiwa katika picha ya pamoja na wacheza shoo wao kwenye red carpet.
KATIKA ukumbi wa Escape One jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo kulikuwa na uzinduzi wa video za wasanii nyota watatu, Mh. Temba na Chegge kwa pamoja wakiwa na video yao ya Kaunyaka, huku Madee akiionyesha kwa mara ya kwanza Vuvula, kazi ambazo ziliwapagawisha kwa kiwango kikubwa mamia ya mashabiki waliojazana ukumbini hapo.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment