BILA AIBUU ELITON JOHN & DAVID FURNISH WAFUNGA NDOA

Mwanamuziki Mkubwa Duniani Elton John & David Furnish Wafunga Ndoa

 Mwanamuzi Mkubwa Duniani Sir Elton John Hatimae Afunga Ndoa Na Patna Wake David Furnish   Baada Ya Kukaa Miaka Nane Ya Mahusiano, Japo imekua wakipingwa na kushauriwa kutoendelea na kitendo cha kufunga ndoa za jinsia moja kwani ni kinyume na Maandiko ya Mungu kwa Dini zote

 
Wamevunja Ukimwa Huo Kwa Kudhihirishia Dunia Kwa Kufunga Ndoa Na Kualika Watu Washuhudie Kwa Kutoa Mialiko Maaalumu Watu Ambao Wamehudhuria Harusi Hiyo Ni Marafiki,Familia Na Mastaa 

Moja ya Master walioshiriki katika ndoa hiyoo ni David Beckham pamoja na Familia yako
 
The Beckham family
Pia alikupo mwimbaji,mwandishi na mpiga gita maarufu anaye fahamika kwa jina la Ed Sheeran
Ed Sheeran arrives to attend Elton John's wedding 
 Ed Sheeran akiwa katika gari lake akiwasili katika sherehe hizo

David Walliams and Lara Stone arrive to attend Elton John's wedding
  David Walliams na Lara Stone wakiwasili katika sherehe hiyo 
 
Viatu Vya Maharusi


Wahudhuriaji



Cake Ina Alfabeti Za Maharusi Yaani Elton John Na David

Maharusi Wameshikana Mikono
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment