Muimbaji mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka pamoja na kundi
la Mafikizolo watatumbuiza jijini Dar es Salaam, June 6 mwaka huu.
Show hiyo imepewa jina la Party In The Park – SA Invasion ambapo
pamoja na wasanii hao, kundi la nchini Kenya, Sauti Sol nalo litakuwepo
kutumbuiza.
Wasanii wengine ni pamoja na Black Motion, Zaki Ibrahim Beatenberg Xoli na Michael Djvoodoosa Darcio.
Home / Bongo yetu /
isikupite /
Ma Star wetu
/ Yvonne Chaka Chaka, Mafikizolo na Sauti Sol Waipania Dar June 6
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment