CHID BENZ ATOKA KWA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA



Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu.

...Akifungua mlango wa gari lililokuwa likimsubiri.
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ’Chid Benz’amepata dhamana mapema hii leo katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kukamilisha taratibu zote za wadhamini wawili baada ya hapo jana kurudishwa rumande alipokuwa hajakamilisha taratibu hizo.

Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment