IKIWA ni siku ya pili toka kufungwa kwa Hoteli ya Blue Pearl
iliyopo katika jengo la Ubungo Plaza ya Jijini Dar, leo hii kamera ya
GPL imewashuhudia wafanyakazi wakiwa wameweka kambi huku madai yao
makubwa yakiwa ni kutaka kujua hatima yao.
Aidha kufungwa kwa hoteli hiyo hakutokani na mgogoro wao na mwajiri
bali ni baina ya mwajiri wao na wamiliki wa Majengo, hivyo wameitaka
Serikali kuingilia kati ili kujua hatma ya maisha yao.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment