Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen Kijo-Bisimba akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen Kijo-Bisimba akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Mwanasheria
wa kituo hicho, Harold Sungusia (kulia), Dk. Helen Kijo-Bisimba
(katikati) na Mratibu Dawati la Katiba, Anna Henga, wakisikiliza
maswali ya wanahabari (hawapo pichani).
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa
taarifa ya kampeni ya pili ya Gogota ya kusambaza uelewa wa rasimu ya
pili ya katiba kwa wananchi ambayo ilizinduliwa 19 Agosti 2014 kwenye
ukumbi wa Mlimani City ambapo mgeni rasmi alikuwa Joseph Butiku.Akielezea taarifa hiyo mbele ya waandishi wa habari leo ofisini kwake, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen Kijo-Bisimba, alisema baada ya uzinduzi huo wafanyakazi wa kituo hicho walitawanyika mikoani kwa ajili ya kutoa elimu ya rasimu ya pili ya katiba.
0 comments:
Post a Comment