DUDE NA MICHEPUKO

STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza
 
Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi , Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga mfano wake.
“Mimi kila ninapokwenda utaniona nipo na mke wangu lakini wasanii wengi wamekuwa wazito kutembea na wake zao kwa kuhofia michepuko kibao waliyonayo, wabadilike,” alisema Dude.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment