liyoanza leo ambapo katika hotuba yake amesisitiza hatua ya serikali kuzuia ongezeko la gharama za umeme.
Rais Magufuli amesema
"Umeme unakwenda mpaka kwa masikini walioumbwa kwa mfano wa Mungu alafu Mtu pekee sababu ya cheo unapandisha bei ya umeme‘
‘Haiwezekani
unapanga mikakati kujenga viwanda na kusambaza umeme vijijini alafu Mtu
sababu ya cheo chako unapandisha bei ya umeme"
‘Namshukuru Waziri wa Nishati ameshatengua maamuzi kwahiyo umeme hakuna kupanda, majipu bado yapo na nitaendelea kuyatumbua‘- Rais JPM
0 comments:
Post a Comment