Zitto Kabwe: Wabunge zaidi 50 wa vyama Mbalimbali Kujiunga na ACT-Wazalendo

Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo , Zitto Kabwe amesema zaidi ya wabunge 50 kutoka vyama mbalimbali vya siasa nchini watajiunga na Chama chake kipya cha "ACT", wakiwemo wa CCM na Chadema.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment