Diamond Platnumz akiri Rais Kikwete anamzidi mengii ktk muziki

Kijana huyu akihojiwa na Gadina wa Radio Efm kwenye kipindi cha Ubaoni amesema,Rais amempigia simu juzi na kumuliza saizi ya koti analovaa ili amletee zawadi kutoka Marekani.

Pili amesema wakiongeaga na Rais huwa Rais anajuwa mambo mengi ya muziki huko Amerika kuliko yeye.

Nimejiuliza hivi ni kweli Rais JK anaweza kufanya hivyo ukizingatia majukumu mazito yanayomkabili juu ya taifa na wananchi wake?

Ni kweli Rais JK anajuwa mambo ya burudani na vinavyojiri kwenye ulimwengu wa muziki kuliko Diamond?

Au kijana baada ya kupewa nafasi na Mh. Rais ameanza kujisahau na kuhisi ni saizi yake?
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment