Tanzania hatufanyi vizuri kwenye michezo ya kimataifa, lakini kwenye
fani ya urembo na muziki nasi tunaweza kusimama katikati ya mataifa
mengine.
Kwenye urembo tuna wasichana wa Kitanzania wanaofanya vizuri sana
kimataifa wakiwemo Tausi Likokola, Herieth Paul, Miriam Odemba na
Flaviana Matata.
Miss Universe Tanzania wa zamani, Flaviana Matata ameendelea
kuiepeperusha bendera yetu kwa mashavu kibao ya brands kubwa za urembo
duniani.
Mchongo wa hivi karibuni alioupata ni ule wa kushiriki kwenye
matangazo ya kampeni ya kampuni maarufu duniani ya vipodozi ya nchini
Italia, Kiko Cosmetics.
Kampeni hiyo inaitwa Modern Tribes ambapo Flavy ameungana na masupermodel wengine wa Wilhelmina Models.
ABOUT KIKO MILANO
Since 1997, kikocosmetics is the online website of the leading
Italian professional cosmetics brand that features a range of
cutting-edge makeup, beauty products, face and body treatments. Safe and
effective products of the highest quality, created to satisfy the
beauty requirements of women of any age. Shopping in our online store is
easy, convenient and secure. Explore the largest and most diverse
selection of beauty products, makeup, cosmetics, skincare and more. KIKO
ship its wide and diversified products to Albania, Austria, Belgium,
Bulgaria, Croatia, Cyprus, Czech Republic, Denmark, Estonia, Finland,
France, Germany, Greece, Hungary, Ireland, Italy, Latvia, Lithuania,
Luxembourg, Macedonia, Malta, Netherlands, Norway, Poland, Portugal,
Romania, Serbia, Slovakia, Slovenia, Spain, Sweden, Switzerland and
United Kingdom.
Home / Bongo yetu /
Fashion /
isikupite /
Ma Star wetu /
Wedding photo
/ Flaviana Matata apata dili kubwa nchini Italia
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment