Taarifa hiyo njema imetolewa hivi karibuni na Nazizi kupitia Instagram.
!I n the beautiful @shaa_tz on #maishasuperstar watch out fr our colabo,” aliandika Nazizi kwenye Instagram.
Wawili hao wamekuwa karibu hivi karibuni kupitia kipindi cha Maisha Superstar ambapo Shaa na mentor na Nazizi ni jaji.
Tayari Shaa ana collabo na msanii wa dancehall wa Kenya, Redsan iitwayo Njoo.
0 comments:
Post a Comment