Picha: Ruby Band yatambulishwa rasmi na kuzindua video mpya

Bendi mpya ya vijana wanne, Ruby Band, imezinduliwa rasmi jana pamoja na kutambulishwa kwa video ya wimbo wao mpya ‘Noma’ ndani ya ukumbi wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.
Vijana wa Ruby Band akifanya yao
Vijana wa Ruby Band wakifanya yao

Akizungumza na waandishi wa habari, msemaji wa bendi hiyo, Deogratius Shija alisema anawaomba wadau na mashabiki wa muziki kuwapokea wasanii hao.
Rubby Band wakiwa na msemaji wa band hiyo, Shija
Ruby Band wakiwa na msemaji wa band hiyo, Shija

“Vijana wapo vizuri sana, wadau wapokee video mpya ya wimbo Noma, pia kuna wimbo maalum kwaajili ya kuelisha watu kuhusu mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi. Video ya Noma imeongozwa na Rashid Mrutu,” alisema Shija.
Ruby Band imeundwa na wasanii wanne, Kwea Pipa, Maya Mpogoro, C.Miner pamoja na Sumalay.
Baadhi ya wasanii wa bongo movies
Baadhi ya wasanii wa bongo movies
Duma ya Siri ya Mtungi, Shija pamoja na mdau
Duma wa Siri ya Mtungi, Shija pamoja na mdau
Vijana wa Ruby Band akifanya yao
Vijana wa Ruby Band wakifanya yao

Vijana wakionyesha uwezo wao
Vijana wakionyesha uwezo wao
Wadau walijitokeza
Wadau walijitokeza
IMG_9899
IMG_9908
IMG_9912
IMG_9918
IMG_9922
IMG_9925
IMG_9937
IMG_9938
IMG_9941
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment