Imekuwa
kama mchezo baada ya wasanii mbalimbali duniani kuendelea kulalamikia
akaunti zao kutekwa ‘kuhack’ na watu kadri siku zinavyokwenda.
Kutoka Nigeria wiki chache baada ya akaunti ya Instagram ya staa Yemi Alade kuvamiwa na watu sasa ni zamu ya Wizkid ambaye naye ameingia kwenye listi ya mastaa waliotapeliwa akaunti zao na miongoni mwa mashabiki wao.
Wizkid alitoa taarifa hiyo kupitia
ukurasa wake wa Twitter akiwataka mashabiki wake kudharau ujumbe wowote
watakaopokea kupitia email yake baada ya watu kuhack.
0 comments:
Post a Comment