ASENAL YAWABURUZA MAN U NYUMBANI



Timu ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuwalaza mahasimu wao Manchester United kwa jumla ya mabao 2 -1.
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Danny Welbeck aliyerejea Old Trafford akiwa na Arsenal ndiye aliyepigilia msumari wa moto kwenye kidonda baada ya kupachicha goli la pili lililoipeleka moja kwa moja Arsenal kwenye hatua ya nusu fainali.

Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment