Wakali kutoka Nigeria safari hii wako kwenye collabo moja, P-Square ft Don Jazzy-collabo

cl2 

Oya baby make me collabo! ni maneno yanayosikika kwenye ile Ile Collabo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu huku mashabiki wengi wakiamini kupata burudani ya aina yake kutoka kwa wakali wa Nigeria  P-Square wakimshirikisha boss wa mavin record star Don Jazzy, video ambayo ilifanyiwa Afrika Kusini siku chache zilizopita ikiongozwa na kaka wa P-Square anaeitwa Jude Okoye akishirikiana na Clarence Peters, wimbo unaoitwa Collabo.

Tumia dakika zako nne hapa mtu wangu kwa kuitazama.

Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment