PICHA: Yusuph Mlela na Esha Buheti Waikaribia HOLLYWOOD

Hizi ni baadhi ya picha za waigizaji Yusuph Mlela na Esha Buheti wakiwa nchini Marekani ambako wamekwenda kufanya kazi (Filamu) wakiwa chini ya kampuni ya Didas Entertainment ambayo kampuni inajihusisha  maswala ya filamu na burudani kwa ujumla.
Tunawatakia kazi njema.http://www.bongomovies.com/public/uploads/ESHA_BUHETI_NA_YUSUPH35.jpg
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment