Alikiba-Chekecha Cheketua’ kutoka leo

Baada ya mwaka jana 2014 kuuvunja ukimya uliotawala kwa miaka mingi kwa kuachia single ya ‘Mwana’, Alikiba anategemea kutoa wimbo wake mpya wa 2015.
cheketua
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Alikiba ameshare cover za wimbo mpya uitwao ‘Chekecha Cheketua’ unaotarajiwa kutoka leo Ijumaa Feb 27. Wimbo huo umefanyika kwenye studio ya Combinenga chini ya producer Man Water.
Chekecha2
Kutokana na ukubwa alionao na cheo cha ‘ufale’ ambacho amejipa, maswali ambayo mashabiki wengi wanajiuliza ni je ngoma hiyo itafanikiwa kuizidi ‘Mwana’?
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment