
Kwa mara
ya Kwanza kabisa nchini marekani limefanyka tamasha la Kiswahili katika
jiji la Washington, likijumuisha nchi zote za Afrika Mashariki na kati
zinazozungumza lugha ya kiswahili.Tamasha hili liliandaliwa ili kuweza
kutangaza tamaduni za Afrika Mashariki ikiwa ni pamoja na Chakula,
Mavazi, Ngoma za Asili, Miziki ya Kizazi Kipya,na mambo mbali mbali ya
kiasilia.
Waandaaji
Wanatoa Shukrani Kwa watu wote waliojitokeza kwani hii ni mara ya
kwanza kabisa Tamasha kama hili kufanyika nchini Marekani hivyo
tutegemee Mambo mengi Makubwa Mwakani kwani Huu ni Mwanzo.
0 comments:
Post a Comment