Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone.
IDADI ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika
Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa
jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa
kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.Ugonjwa huo ambao husambazwa moja kwa moja kupitia majimaji ya mwilini kutoka kwa mgonjwa mpaka sasa bado hauna tiba.
0 comments:
Post a Comment