Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira (katikati)
alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana mjini Dodoma juu ya
mkutano wa 30 utakaofanyika nchini mwishoni wiki hii. Kushoto ni Rais wa
Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu
Tadesse na kulia ni Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu Tadesse (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana kuhusu mkutano wa miaka 30 ya wanahisa na magavana utakao shirikisha nchi 18 za Afrika, mkutano huo utafanyika kesho jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Ofisi ya Rais (Uratibu na Mahusiano), Steven Wasira akifuatiwa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira (kushoto) abibadilishana mawazo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu Tadesse mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jana mjini Dodoma. Katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu Tadesse (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana kuhusu mkutano wa miaka 30 ya wanahisa na magavana utakao shirikisha nchi 18 za Afrika, mkutano huo utafanyika kesho jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Ofisi ya Rais (Uratibu na Mahusiano), Steven Wasira akifuatiwa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira (kushoto) abibadilishana mawazo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu Tadesse mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jana mjini Dodoma. Katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile.
Bodi ya
Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa
Afrika (PTA) itakuwa mkutano wa mwaka utakaofanyikia nchini jijini Dar
es salaam tarehe 22 mwezi huu.
Hayo
yamebainishwa jana mjini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
(Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira alipokuwa akiongea na waandishi wa
habari juu ya mkutano huo utakaofanyika mwishoni wiki hii.
“Huu ni
mkutano wa kawaida wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa nchi wanachama pamoja
na Mawaziri wa Fedha, Tanzania ni mwanachama ndio maana mkutano wa 30
unafanyika hapa” alisema Wasira.
0 comments:
Post a Comment