ODAMA AHOFIA KIFO


MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa kadri anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kumjaa.
 
Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Odama alifunguka hayo juzi alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Vijana ambapo alisema kutokana na hofu hiyo ndiyo maana aliamua kujumuika na watoto yatima.
“Mwenzenu sijui nipoje yaani kila inapofika bethidei yangu najikuta nikiingiwa na hofu ya kifo, bora niwe nasherehekea na watoto yatima kama hivi nipate thawabu kwa Mungu,” alisema Odama.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment