Tayari muimbaji huyo wa ‘Nobody But Me’ amewasili jijini humo kuungana na wasanii wakubwa wa Nigeria kwenye show hiyo itakayofanyika Jumamosi hii.
Tamasha hilo lililopewa jina la ‘Africa’s Biggest Beach Party litawakutanisha wasanii wengi wakubwa Afrika ambao ni pamoja na Waje, BurnaBoy, Awilo Longomba, Skales, MI, Sean Teasel na wengine.
0 comments:
Post a Comment