Vanessa Mdee na Victoria Kimani ni wasanii pekee wa Afrika Mashariki walioalikwa kwenda kutumbuiza kwenye tamasha la Gidi Culture Festival jijini Lagos, Nigeria.
Tayari muimbaji huyo wa ‘Nobody But Me’ amewasili jijini humo
kuungana na wasanii wakubwa wa Nigeria kwenye show hiyo itakayofanyika
Jumamosi hii.
Tamasha hilo lililopewa jina la ‘Africa’s Biggest Beach Party
litawakutanisha wasanii wengi wakubwa Afrika ambao ni pamoja na Waje,
BurnaBoy, Awilo Longomba, Skales, MI, Sean Teasel na wengine.
Home / Bongo yetu /
isikupite /
Ma Star wetu /
Utaipenda
/ Vanessa Mdee atua Lagos, kufanya yake katika Gidi Culture Festival Jumamosi hii
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment