Walio zusha Kuhusu Mimba ya Zari a.k.a THE BOSSLADY hapa mtasemaje?

Zari the Bosslady yupo nchini alikokuja kumsalimia mpenzi wake, Diamond Platnumz.
924472_1619103354970185_370541688_n
Hivi karibu kulianza kuzuka maneno kutoka kwa baadhi ya watu kuwa wana mashaka na kama kweli mrembo huyo wa Uganda ni mjamzito.
Lakini kwa mujibu wa picha iliyosambaa mtandaoni leo, ni kweli Zari anatarajia kuwa mama kwa mara ya nne.
11049344_357710691095575_892382038_n
Kwenye picha hiyo, Zari anaonekana akiwa amevaa gauni jekundu ambalo linaonesha wazi jinsi mimba yake ilivyokuwa.
Picha hiyo imevuta hisia za wengine akiwemo Ray C aliyeipost kwenye Instagram na kuwataka mashabiki wake wamtaje baba wa mtoto huyo.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment