Hosteli za chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM zilipo katika eneo la Mabibo zimeungua moto asubuhi ya leo.
Wanafunzi wakishuhudia hosteli ya Mabibo ikiungua moto
Chanzo kinadaiwa kuwa ni shoti ya umeme iliyotokea kwenye bweni la
wasichana. Wanafunzi wawili walijeruhiwa na kupelekwa hospitali.
Jeshi la zimamoto lilifanikiwa kuuzima moto huo.
Umati mkubwa wa wanafunzi umeoneka ukishuhudia moto huo bila kuwa na kitu cha kufanya huku wengine wakijaribu kuokoa mali zao.
Picha zinaonesha kuwa moto huo umeanzia ghorofa ya juu ambako moshi mzito umetanda.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment