Lady Jaydee anatarajia kuachia ngoma yake mpya April 10.
Katika mradi wake mpya uliofanyika nchini Afrika Kusini, Lady Jaydee
amemshirikisha Mazet kutoka kundi la Mina Nawe pamoja na Uhuru.
Akiongea na E-News ya EATV, Lady Jaydee amesema kazi hiyo itakuwa na
utofauti wa ladha ambayo hajawahi kuifanya kwa kuunganisha mawazo na pia
uwezo na wasanii hao.
Ngoma hiyo itatoka na video yake.
Home / Bongo yetu /
isikupite /
Ma Star wetu /
Utaipenda
/ Lady Jaydee Awaahidimashabiki wake zawadi April 10
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment