WASICHANA TOP 5 WAREMBO NA WENYE MVUTO DUNIANI

1 Nina DobrevNina-Dobrev

Msichana mrembo kuliko wote Duniani. Ni M bulgarian  mwigizaji kutoka Canada na pia ni model. alizaliwa  Bulgaria amekulia Canada. Dobrev ameigiza filani nyingi tofauti tofauti , zikiwemo Fugitive Pieces, Away from Her, Never Cry Werewolf na pia ameigiza  series za  drama. anpendelea sana kusafiri na kuigiza pia uigizaji kwake ni kitu cha kawaida. Amesomea kuigiza huko  Armstrong Acting Studios in Toronto, Ontario, Canada. Kilicho mtambulisha zaidi na kumpatia umaarufu ni movies. 

2 Emmanuelle Chriqui

emmanuelle-chriqui

Ni Raia wa Canada pia na ni muigizaji. Chriqui alizaliwa huko Montreal, Quebec.anafahamika zaidi kwa ushiriki wake mzuri katika  HBO’s Entourage. Alijiingiza rasmi katika uigizaji akiwa na  umri wa miaka 10. Chriqui alikua nominated katika  Best Actress DVD Exclusive Award kutokana na uwezo wake mzuri kati ya wasichana 100. Alijizolea umaarufu zaidi kupitia  movie inayo fahamika kwa jina la "You Don’t Mess with the Zohan" mwaka  (2008)

3 Jessica Alba

Jessica-AlbaNi raia wa America Mwigizaji, model(Mwanamitindo) na ni mfanya biashara. Alianza kuigiza akiwa na miaka 13. Alba amekua akiitwa sex symbol. Ametimiza toka alipo anza rasmi kuigiza na ni mtu mchapakazi katika jamii. Anafahamika zaidi kupitia movie  ya "Sin city" pamoja na "Fantastic Four".

4 Dianna Agrondianna-agron

Ni raia wa America Mwigizaji, dancer na pia ni mwanamziki. Ni Mwandaaji na pia ni mwandishi wa nyimbo , ni art na  photographer wa tovuti ya "You, Me, and Charlie".Ni mzaliwa wa  Savannah, Georgia. Alianza kucheza mziki akiwa na umri wa miaka mitatu. Anatumia muda wake mwingi katika kutumbwiza . Ametokea zaidi katika Matangazo ya  Biashara . Alijizolea  na kujiongezea umaarufu zaidi kupitia  movie  inayo fahamika kama "I am number four".

5 Monica Bellucci

monica-bellucci

Ni raia wa Italia Mwigizaji na mwanamitindo . aliingia katika fani hiyo ya uigizaji  akiwa na umri wa miaka  13. Uana mitindo alianza akiwa chuoni kimasomo katika chuo cha "University for extra money". Ametokelezea katika  black and white TV commercial for Dolce & Gabbana. Kwa mtazamo wa wa Faransa wanaamini ndiye mwanamke mwenye monekano mzuri kuliko wote Duniani. Alitamba zaidi katika  movie inayo fahamika kwa jina la  "Melena" mnamo mwaka  (2000).

Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment