Sanamu ya paka yauzwa kwa dola 80,000


Sanamu moja ya paka wa Misri,ambayo nusra itupiliwe mbali kama taka,imeuzwa nchini Uingereza kwa takriban dola 80,000.
Sanamu hiyo ya shaba ,mara ya kwanza ilidhaniwa kama isio na thamani yoyote ilipogunduliwa wakati wa usafishaji wa jumba moja katika mji wa kusini magharibi wa Penzance.
Lakini baada ya kukaguliwa na wataalam ,ilibainika kuwa halisi,ikiwa ni sanamu ya miaka 2,500 kutoka Misri.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment