Msanii wa muziki
wa miondoko ya bongo fleva nchini Witnesz Mwaijage ambaye ambaye hivi
karibuni alkikuwa mja mzito na alitarajia kujifungua imekuwa bahati
mbaya kwake kutokana na kupoteza watoto watarajiwa hao ambao walikuwa ni
mapacha.
msanii wa bongofleva Witnesz Mwaijaga
Japokuwa
msanii huyu hakupenda kuongelea zaidi juu ya tukio hili la kusikitisha
lakini alijitahidi kuongea nasi kutokana na kupoteza watoto hao alisema kua hana kwa sasa hana chakusema na anajitahidi kukabiliana na wakati huu mgumu alonao kwani yote ni mipango ya mungu....
BONGO FAME ina penda kutuma pole kwa dada yetu na mungu ampe wepesi katika kipindi hiki kigumu
BONGO FAME ina penda kutuma pole kwa dada yetu na mungu ampe wepesi katika kipindi hiki kigumu
0 comments:
Post a Comment