ZANZIBAR YACHUKUA TAHADHARI KUKABILIANA NA EBOLA

 Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kupitia wizara ya afya imeanza kuchukua hatua za kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola ambapo abiria wanaosafiri kwa kutumia usafiri wa baharini wameanza kupatiwa elimu juu ya dalili za ugonjwa huo.
Hiyo ndiyo hali ilivyo sasa katika bandari ya Zanzibar wakati abiria wanaosafiri kati ya Zanzibar na Dar wamekuwa wakipatiwa maelekezo ya ugonjwa huo wa Ebola kwa kuambiwa dalili zajkke na atharizake,hatua hiyo uemanza kuchukuliwa nawizara yaafya ambapo wahudumu wa wizara hiyokitengo cha afyawamekuewa wakitoa taahdhari hiyo
Adhi yaabiria wakiongea na itv walitoa maoni yaokuhus mchaktohuo waebola ambapo wengine wameipongeza seriklai kwa hatua hizo ingawa wengine wamekuwa na maoni taafuti kuhusu utaratibu huo wakidai hatua hizo za kutoa matangazo pekee hazitoshi ila seriki lazima iweke vifaa vyote vinavyotakiwa  hapo bandarini na sio kunadi matangazo pekee huku watnzaniawametakiwa  kundelea kumuomba mwenzimungu ailinde Tanzania.
Hata hivyo wakakti hatua hizo zimeanza kuchukuliwa na wizara hiyo katika bandari kuu Zanzibar bado katika uwanja wa ndege wa Zanzibar hakuna utaratibu wowote uanofanyika kutoa tahadhari wa uogonjwa huo huku seriklai wiki iliyopita ilitangaza kuwa tayari hatua zimeanza kuchukuliwa.
Share on Google Plus

About ahmed

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment