
Baada ya kupost picha Instagram akisaini mkataba wa ubalozi, Mavoko ameelezea jinsi dili hilo lilivyomfata.

“WWF ni shirika lisilo la kiserikali linalo jihusisha na Utunzaji wa Mazingira.
Swali: ilikuaje wakanichagua kua Balozi wao?
Jibu: waliangalia video ya #PachaWangu nilivyomtumia Chui walipenda na kuvutiwa na mimi.
2.Walipenda kufanya kazi na kijana ili niweze kuwashawishi vijana wenzangu kutunza Mazingira.”
0 comments:
Post a Comment